Jumapili, 26 Februari 2017

HITAJI LANGU BAADA YA KUOKOKA

Tarehe  19.2.2017

Somo: Hitaji langu baada ya kuokoka:

Yafuatayo ni mahitaji ya lazima baada ya mtu kuokoka

  1.  Ujae Roho Mtakatifu
  2. Ubatizo wa maji mengi
  3. Kudumu katika mafundisho ya Neno la Mungu (1Petro 2:2)
  4. Ushirika wa Meza ya Bwana (1Kor 11: 23 - 26)
  5. Ushirka na wengine waliookoka
Maadui wa mtu aliyeokoka
  1. Ulimwengu/Dunia (1Yohana 2: 16 - 17)
  2. Mwili (Rumi 8: 1 - 13, Galatia 5: 13 - 17, Yak 4: 1 - 10)
  3. Nafsi (Mwa 6: 1 - 6)
  4. Mazingira (Mwa 34: 11 - 12)
Wajibu wa mtu aliyeokoka
  1. Kuishi maisha Matakatifu
  2. Kumtafuta Roho Mtakatifu
  3. Kumcha Mungu katika Roho kwa viwango vya juu
  4. Kumjua Mungu wa Biblia
  5. Kumjua Yesu
  6. Kuwa mwakili wa siri za mbinguni
  7. Kuwa na chumvi za dunia
  8. Kuwa nuru ya Ulimwengu
  9. Kuwa taa ya Ulimwengu
  10. Kuwa barua
  11. Kuwa mhubiri wa Injili
  12. Kuwa mwombaji
  13. Kuwa msafiri wa kwenda mbinguni


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni