Jumapili, 26 Februari 2017

KUISHI MAISHA YA USHINDI

Tarehe 26.2.2017Somo: Kuishi maisha ya ushindi

Efeso 6: 12

Adui yetu anajua uzuri wa Mbinguni hivyo anashindana nasi ili tusiende mbinguni. Shetani hushambulia maisha ya mwamini kama tunavyosoma Ayubu 1: 6 - 12

Kwa hiyo ndugu maliza maishi ya ushindi kwa kufanya yafuatayo:-

  • Kuwa msomaji wa Neno la Mungu
  • Kuwa mwombaji (Yoshua 10: 12)
  • Kuwa na imani thabiti
  • Kuwa na moyo wa sifa
  • Kuwa na shukrani
  • Kuwa na roho ya kusamehe

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni