Jumapili, 23 Aprili 2017
JUMATAU YA PASAKA 2017
IBAADA YA JUMATATU YA PASAKA TAREHE 17.04.2017
MHUBIRI: MCHUNGAJI MARY MNEO
MAANDIKO: WAEBRANIA 2:3
UJUMBE: KUJALI.
Tutapataje kupona tusipojali wokovu mkuu namna hii? Yesu aliicha enzi yake na kuja dunia kwa ajili ya ukombozi wa mwanadamu yaani mimi na wewe. Si hivyo tu pia alikubali kuchukuwa mateso yetu. Yeye wala hakustahili kupata mateso yale aliyoyapata msalabani. Ni upendo wake kwa ajili yetu. Wakati mwingine hatujali huu wokovu ambao hupatikana mara moja tu. Tunaweza kufanya tunayoyataka kwa kutojali wokovu ambao Yesu alijitoa hata kuutoa uhai wake pale msalabani. Alisema Baba imekwisha pale kalivari. Unapotafakari upendo wa Yesu kwa ajili yetu hasa tunaposikia ujumbe huu wa tutapataje kupona tusipojali wokovu mkuu namna hii? Tuijali kazi kubwa ambayo Yesu aliifanya pale msalabani ili tupate kuwa haki ya Mungu.
MHUBIRI: MCHUNGAJI MARY MNEO
MAANDIKO: WAEBRANIA 2:3
UJUMBE: KUJALI.
Tutapataje kupona tusipojali wokovu mkuu namna hii? Yesu aliicha enzi yake na kuja dunia kwa ajili ya ukombozi wa mwanadamu yaani mimi na wewe. Si hivyo tu pia alikubali kuchukuwa mateso yetu. Yeye wala hakustahili kupata mateso yale aliyoyapata msalabani. Ni upendo wake kwa ajili yetu. Wakati mwingine hatujali huu wokovu ambao hupatikana mara moja tu. Tunaweza kufanya tunayoyataka kwa kutojali wokovu ambao Yesu alijitoa hata kuutoa uhai wake pale msalabani. Alisema Baba imekwisha pale kalivari. Unapotafakari upendo wa Yesu kwa ajili yetu hasa tunaposikia ujumbe huu wa tutapataje kupona tusipojali wokovu mkuu namna hii? Tuijali kazi kubwa ambayo Yesu aliifanya pale msalabani ili tupate kuwa haki ya Mungu.
KUNYAKULIWA KWA KANISA
IBAADA YA TAREHE 02.04.2017
MAANDIKO: Math 24: 36 - 44
Mhubiri: Mchungaji
Ujumbe: Kunyakuliwa kwa kanisa
Mathayo aliitwa na Bwana Yesu na kuambiwa "nifuate". Mathayo alimfuata Yesu bila ya kujiulizauliza. Hivyo Mathayo akawa miongoni mwa wale Thenashara ( wanafunzi 12).
Yesu alianza kueleza namna siku hiyo itakavyokuwa kwa kuanza na mfano wa Gharika wakati wa mtumishi wa Mungu Nuhu. Watu waliendelea kufanya shughuli zao na Nuhu hakuacha kuwaambia watu habari za mpango wa Mungu wa kugharikisha ulimwengu. Nuhu aliwaitwa watu waje watengeneze safina ili waokolewe lakini watu hawakujali na walimwona Nuhu kama mtu aliyechanganyikiwa. Kwenye gharika hiyo alipona Nuhu na familia yake tu.
MAANDIKO: Math 24: 36 - 44
Mhubiri: Mchungaji
Ujumbe: Kunyakuliwa kwa kanisa
Mathayo aliitwa na Bwana Yesu na kuambiwa "nifuate". Mathayo alimfuata Yesu bila ya kujiulizauliza. Hivyo Mathayo akawa miongoni mwa wale Thenashara ( wanafunzi 12).
Yesu alianza kueleza namna siku hiyo itakavyokuwa kwa kuanza na mfano wa Gharika wakati wa mtumishi wa Mungu Nuhu. Watu waliendelea kufanya shughuli zao na Nuhu hakuacha kuwaambia watu habari za mpango wa Mungu wa kugharikisha ulimwengu. Nuhu aliwaitwa watu waje watengeneze safina ili waokolewe lakini watu hawakujali na walimwona Nuhu kama mtu aliyechanganyikiwa. Kwenye gharika hiyo alipona Nuhu na familia yake tu.
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)