Jumapili, 12 Machi 2017

MUNGU HUSIMAMA NA MWENYE HAKI

IBADA YA TAREHE 12.03.2017

MHUBIRI: MCHUNGAJI MARY MNEO
UJUMBE: Mungu husimama na mwenye haki


Mchungaji Mary Mneo akihubiri
Mambo tunayojifunza katika Mwan 6: 1 - 13 ni kama ifuatavyo:-

  1. Mtazamo wa wana wa Mungu haukuwa kama Mungu alivyokusudia.
  2. Mungu anaweka hisia zake wazi juu ya kutoshindana na mwanadamu
  3. Mungu anayaona mawazo ya mwanadamu kuwa ni mabaya siku zote.
  4. Nuhu anapata neema machoni pa Mungu.
Kilichomfanya Nuhu kupata neema machoni pa Mungu katika dunia iliyojaa dhuluma ni kutembea pamoja na Mungu.

Hitimisho: Hata sasa mtu wa Mungu fanya maamuzi ya kutembea pamoja na Mungu. Haijalishi tupo kwenye dunia ya namna gani bado tunaweza kupata neema machoni pa Mungu kama ilivyokuwa kwa Nuhu.


IBADA YA KUWAWEKA WATOTO WAKFU KWA MUNGU

Mchungaji na wazazi wenye watoto wa kuwekwa wakfu kwa Mungu


Mchungaji akipoke mtoto kutoka kwa mzazi

Mchungaji Kiongozi akiombea mtoto



 Hizi ni baadhi ya picha katika matukio ya ibada ya kuwaweka watoto wkfu kwa Mungu.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni